MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016/2017 YAMETOKA
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016 BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 31, 2017 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Sekondari, Kidato cha Nne kwa mwaka 2016, mtihani ambao ulifanyika mwishoni mwa mwaka jana ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 2.44 ukilinganishwa na ule wa mwaka jana. Katika matokeo hayo, shule za Mikoa ya Pwani na Dar es Salaam zimeonekana kung’ara zaidi kwa kushika nafasi za juu wakati huohuo shule 6 za Dar es Salaam zikishika nafasi 10 za mwisho katika matokeo hayo. SHULE ZILIZOINGIA 10 BORA KITAIFA: Feza Boys Sec School – Dar es Salaam St. Francis Girls Sec School -Mbeya Kaizirege Junior Sec School – Kagera Marian Gilrs Sec School – Pwani Marian Boys Sec School- Pwani St. Aloysius Girls Sec School – Pwani Shamsiye Boys Sec School – Dar es Salaam Anuarite Girls Sec School- Kilimanjaro Kifungilo Girls Sec School- Tanga Thomas More Machrina Sec School – Dar es Salaam SHULE ZA DAR ES SALAAM ZILIZOSHIK...
NICE BRO
ReplyDeleteexcellent
ReplyDelete